Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Afya

Chuo Cha Afya na Sayansi Shirikishi Tanga
" Jitahidini Ubora "

Historia

Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Tanga ni Taasisi ya serikali chini ya Wizara ya Afya chenye namba ya usajili REG/HAS/049  kilichoanzishwa mwaka 2019 baada ya kuunganisha  kwa vyuo vitatu, Chuo cha Uuguzi Tanga, Chuo cha  Madaktari wasaidizi Tanga na Chuo cha Matabibu wa Meno Tanga. Vyuo vyote vilivyounganishwa vilianza miaka ya 1970.