Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Afya

Chuo Cha Afya na Sayansi Shirikishi Tanga
" Jitahidini Ubora "

MIPANGO,FEDHA NA UTAWALA

Imewekwa: 21 May, 2024

Mr. Kondo Mahmoud Juma

Makamu Mkuu wa Chuo Mipango, Fedha na Utawala


Nashukuru kwamba umechukua muda wako kutembelea ukurasa wa Makamu Mkuu wa Chuo Mipango, Fedha na Utawala Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Tanga.

Ofisi ya Makamu Mkuu wa Chuo ina Vitengo vitano (5) ambavyo ni Kitengo cha Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Kitengo cha  Fedha, Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi, Kitengo cha Habari, Mawasiliano na Teknolojia, na Kitengo cha Serikali ya Umoja wa Wanafunzi. Kwa changamoto yoyote ile uwe mwanafunzi, mfanyakazi, mgeni, au mwananchi unaweza kufika ofisini.

Wote Mnakaribishwa.